• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

ENEO LA VETA MPANDA LILILOLIPIWA FIDIA LAUZWA NA MWANANCHI

Posted on: October 24th, 2022


Mkuu wa chuo cha ufundi stadi (VETA) Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi, Joshua Matagane amewaonya Wananchi wa Kata ya Shanwe kuacha mara moja kuendelea kuuza na kujenga katika eneo la Chuo hicho wakati Serikali imeshawalipa fidia.

Matagane ametoa onyo hilo Oktoba 24,2022 akiwa eneo la Soko la Shanwe Kata ya Shanwe Manispaa ya Mpanda  katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuf wenye lengo la kusikiliza kero za Wananchi wa kata hiyo  Pamoja na kuelezeza mipango na miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.


Mkuu huyo wa chuo ameiambia kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya kuwa, Serikali tayari imeshawalipa fidia Wananchi 33 lakini licha ya kulipwa bado wapo baadhi akiwemo Adam Pesambili (Rasi) ambaye Oktoba 11,2019 alilipwa fidia zaidi ya Tsh. Milioni 10.8 lakini bado anaendelea kuwauzia Wananchi maeneo hayo hali inayosababisha kuibuka kwa migogoro mipya.


Aidha, amemuomba Mkuu wa Wilaya kuwachukulia hatua baadhi ya viongozi wa Serikali za Mitaa ambao wamekuwa wakihusika kutengeneza migogoro hiyo kwa kushiriki kuyauza maeneo hayo ya Chuo hali ya kuwa wanafahamu ni mali ya Chuo.


"Yangekuwa mamlaka yangu Mimi leo,Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa (Shanwe) wala asingekuwa tena Mwenyekiti"


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuf amewataka Wataalamu na Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Mpanda ndani ya Siku Saba waweke kambi katika kata hiyo na kuhakikisha wanapitia maeneo yote yenye migogoro pamoja na kutoa elimu na ndani ya muda huo ripoti imfikie ya nini kifanyike.


DC Jamila amemuagiza pia Mkurugenzi kutekeleza agizo la kuhakikisha maeneo yote ya Taasisi za Serikali yanawekewa mipaka sanajari na kuwataka Wananchi kutoendelea na shughuli zozote katika maeneo yenye migogoro mpaka pale utatuzi utakapokuwa umetolewa


Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.