• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

RC KATAVI: SITAKI UNYANYASAJI SEHEMU ZA KAZI

Posted on: May 1st, 2023

RC KATAVI: SITAKI UNYANYASAJI SEHEMU ZA KAZI

Mkuu wa mkoa wa Katavi mhe. Mwananmvua mrindoko amewataka waajiri wote mkoani Katavi wa sekta binafsi na serikali kuto wanyanyasa wafanyakazi wao. Mhe. Mrindoko ameyasema hayo katika hafla ya siku ya wafanyakazi duniani ambapo kimkoa hafla hiyo imefanyika MANISPAA YA Mpanda viwanja vya shule ya msingi kashaulili.

Mhe mrindiko ameeleza kuwa Karibu miongo 6 ya uhuru wetu kama taifa, Tanzania tumepiga hatua kubwa ya kimaendeleo kutokana na kufanya kazi. “Tuna vituo vingi vya kutolea afya, tuna dawa na vifaa tiba katika hospitali zetu, tuna mtandao mkubwa wa barabara, madaraja, viwanja vya ndege na bandari, tuna miundombinu ya elimu na vifaa mbali mbali vya kufundishia katika shule zetu. Tuna mambo mengi ya kimaendeleo katika nchi yetu” 

Katika Mkoa wa Katavi tunajivunia maendeleo lukuki. Kwa kutaja machache, tuna hospitali na vituo vya kutolea huduma ya afya kwa wananchi wetu, tuna bandari, tuna kiwanja cha ndege, tuna barabara na bandari, tuna chakula cha kutosha kwa wananchi wetu” Alisema Mrindoko.

Bidii na maarifa ya kazi kwa wafanyakazi wa umma, sekta binafsi kwa kushirikiana na wananchi wa Mkoa wa Katavi umepata maendeleo makubwa katika sekta mbali mbali.

Katika maadhimisho ya kumbukizi ya Siku ya wafanyakazi duniani, yaliyoadhimishwa kimkoa katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kashaulili, Mjini Mpanda, Kiongozi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko, kwa dhati ya moyo wake, hakusta kuwapongeza wafanyakazi wote katika mkoa wake kwa kazi nzuri waliyofanya katika kuwahudumia wananchi wa mkoa huo.

Mhe. Mrindoko amewataarifu wafanyakazi kuwa kazi wanazozifanya katika mkoa wake ndizo ambazo zimeleta mafanikio makubwa na kuuheshimisha mkoa.

Amebainisha kazi hizo kuwa ni pamoja na utekelezaji wa Ilani ya CCM, utoaji wa huduma na utatuzi wa kero mbali mbali kwa wananchi.

Kiongozi huyo, amewasihi wanafanyakazi kuendelea kufanya kazi kwa bidii na maarifa, nidhamu ya hali ya juu, kujituma na kutumia muda wao vizuri katika utoaji wa huduma kwa wananchi wa mkoa wake.

Amewaahidi wafanyakazi hao kuwa serikali ya mkoa wake itaendelea kuweka mazingira mazuri ya kazi kwa wafanyakazi wote ili kuwezesha mipango, programu na miradi ya maendeleo kusonga mbele zaidi.

Amewaonya waajiri wote katika mkoa wake kutojihusisha na unyanyasaji wa wafanyakzi wao, kudumisha staha sehemu za kazi, nidhamu na kuwathamini na kuwaheshimu wafanyakazi wote kwa mujibu wa Sheria, Kanununi, Taratibu, Miongozo, Mila na Desturi za kitanzania.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.