• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

STENDI MPYA YA MABASI-ILEMBO (MIZENGO PINDA) YAMFURAHISHA WAZIRI JAFFO.

Posted on: November 29th, 2018

 

“Mimi sio mtu wa kusifia sifia lakini kwa hili naomba niseme, stendi hii ni moja kati ya stendi bora kabisa Tanzania. Ujenzi wake ni wa viwango, mimi binafsi nimeridhishwa sana na ukamilishaji wa stendi hii, nawapongeza sana viongozi wote kwa usimamizi mzuri” alisema Waziri Jaffo.

 

Akitoa taarifa ya ujenzi wa stendi hiyo mratibu wa Miradi inayofadhiliwa na Benki ya Dunia Bi Mery Kanumba kwa niaba ya Mkurugenzi alieleza kuwa, Mradi huo Umetekelezwa kwa gharama za Tshs, 3,780,614,501.00 kati ya fedha hizo Tshs, 3,451,328,501 ni fedha za ujenzi na Tshs, 329,286,000.00 ni fedha kwa ajili ya malipo ya Mtaalamu Mshauri.

Aidha Mradi huo umetekelezwa  kwa awamu mbili.  Awamu ya kwanza ikiwa ni Tshs. 2,158,984,651.00 na awamu ya pili ni Tshs.1,292,343,850.00, fedha ambazo zinatolewa  na Halmashauri ya  Manispaa ya Mpanda kupitia Mpango wa Uendelezaji wa Miji unaofadhiliwa kwa Mkopo toka Benki ya Dunia.  

Mradi huo ulianza tarehe 22/05/2015 na umekamilika tarehe 10/11/2017 . Mradi huo umesimamiwa na Mtaalamu Mshauri GEOMERTY CONSULTANTS LTD wa Dar-es salaam na umejengwa na kampuni ya ujenzi ya CHINA HUNAN CONSTRUCTION ENGINEERING GROUP EAST AFRICA LTD yenye Tawi lake jijini Dar –es Salaam.  Hadi  sasa Mkandarasi ameishalipwa Tshs, 3,220,995,229.09  sawa na 93 % ya fedha zote na kusalia Tshs, 230,333,271.91 ambazo atalipwa baada ya kukamilisha marekebisho na muda wa matazamio ya mradi. 

Aidha Waziri Jaffo ameitaka Halmashauri kuendelea kuwa wabunifu, na kuisimamia kikamilifu stendi hiyo ili kuongeza Mapato ya ndani ya  Halmashauri kwa kuwa nia na matokeo ya mradi huo ni kuongeza Mapato kwa Halmashauri pamoja na kutoa huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.