• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA LAMPITISHA CHARLES VENAS PHILIPO KUWA MSTAHIKI MEYA

Posted on: December 3rd, 2025

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda limempitisha Mhe. Charles Venas Philipo kuwa Mstahiki Meya mpya wa halmashauri hiyo, akichukua nafasi ya Haidary Sumury, ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini.

Hafla ya uchaguzi huo imefanyika tarehe 3 Desemba 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda, sambamba na ufunguzi wa Baraza Jipya la Madiwani. Mhe. Venas amepitishwa kwa kura 21, zote zikiwa za ndiyo.

Akizungumza mara baada ya kuapishwa, Mstahiki Meya Venas ameahidi kusimamia kikamilifu matumizi ya fedha zinazotolewa na Serikali pamoja na mapato ya ndani ya halmashauri ili kutekeleza kwa ufanisi miradi ya maendeleo kwa manufaa ya wananchi na Manispaa kwa ujumla.

Amesisitiza kuwa atashirikiana kwa karibu na wananchi katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kijamii na kiuchumi, huku akiwataka madiwani kuwa waadilifu na kuwathamini wananchi wanaowaongoza.

“Nimechaguliwa kuwa Mstahiki Meya. Nieleze wazi ndugu zangu, nitashirikiana na mtaalamu aliye mwadilifu, mzalendo na anayethamini wananchi,” alisema Mhe. Venas.

Kwa wake Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Mhe. Jamila Yusuph, amewataka madiwani kusimamia ipasavyo utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Amesema ni muhimu madiwani kuwatambua vijana waliopo katika kata zao ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi.

Ameongeza kuwa wajibu wa madiwani ni kuweka mifumo ya kuwaibua vijana wenye miradi, kuwahamasisha kujiunga katika vikundi, na kuhakikisha fedha zinazotolewa zinawafikia walengwa kwa wakati.

“Ni wajibu wenu kuhakikisha mikopo inatolewa kwa uwazi na kufuata taratibu, pamoja na kuwatambua vijana katika kata zenu ili washiriki kwenye fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali,” alisema Dc Jamila

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA BONYEZA HAPA October 08, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA LAMPITISHA CHARLES VENAS PHILIPO KUWA MSTAHIKI MEYA

    December 03, 2025
  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.