• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

RAS KATAVI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA KWA KUPATA HATI SAFI

Posted on: June 18th, 2025

RAS KATAVI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA KWA KUPATA HATI SAFI

Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mh. Mwanamvua Mrindoko, Katibu tawala wa Mkoa wa Katavi Bw.Albert Msovero ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kwa kupata hati safi kwa zaidi ya miaka mitano mfululizo.

Akitoa hotuba katika Baraza maalum la Madiwani la kujadili hoja za Mkaguzi wa nje lililofanyika leo Juni 18, 2025 katika Ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Mpanda, Msovero amesema kuwa, pamoja na changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo wataalamu wa Manispaa ya Mpanda lakini bado wameonesha weledi mkubwa katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo zilizo pelekea Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda kupata Hati safi kwa miaka mitano mfululizo.

“Msitahiki Meya nikupongeze wewe pamoja na Mkurugenzi kwa kupata hati safi isiyo kuwa na mashaka kwa kipindi chote cha uongozi wenu,  kwa zaidi ya miaka mitano manispaa ya Mpanda  haijawahi kupata hati yenye mashaka; nawapongezeni sana” Amesema Msovero

Msovero ameendelea kuipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kwa usimamizi mzuri wa fedha za Serikali sanjali na usimamizi mzuri wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo ambayo yemepelekea Manispaa ya Mpanda na Mkoa kwa ujumla kupiga hatua kubwa za kimaendeleo.

Msovero amesema kuwa, kwa kipindi cha miaka mitano Wilaya ya Mpanda na Mkoa wa Katavi kwa ujumla umekuwa na mabadiliko makubwa sana ya kimaendeleo baada ya kutengewa bajeti ya fedha zenye thamani ya Tsh Tirioni 1.3 zilizopelekwa  katika maeneo mbalimbali yakiwemo maeneo ya  Uchumi na kijamii.

“Waheshimiwa viongozi tunakubaliana kwamba katika kipindi hiki cha miaka mitano ya Rais mama samia mkoa huu wa Katavi umepata mabadiliko makubwa sana, katika kipindi hiki Mkoa wetu umepokea zaidi ta Shilingi Tirioni moja ma milioni mia tatu arobaini na tano ambazo zimekwenda katika sekta mbalimbali katika mkoa wetu wa Katavi”. Amesema Msovero.

Kwa upande wake Msitahiki Meya wa Manispaa Mhe Haidary Sumry amesema kuwa, katika kipindi cha uongozi wake shughuli nyingi na miradi mingi ya kimaendeleo imefanyika ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Zahanati na Vituo vya Afya kila kata, ujenzi wa shule ya English Medium iliyoko kata ya Misunkumilo, uchongaji wa barabara kwenye kata zote na miradi mingine mingi, yote hayo yamekuwa chachu katika kuwaletea wananchi maendeleo sanjali na upelekaji wa huduma kwa wananchi. Miradi hii imefanyika kwa kutumia fedha za mapato ya ndani na fedha kutoka serikali kuu.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.