• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE

31 December 2025

TANGAZO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda anawatangazia wafanyabiashara wote wanaofanya biashara ndani ya Manispaa kulipa ushuru wa huduma (Service Levy), kodi ya mabango, leseni za biashara, leseni za video, kodi ya vibanda vya masoko au stendi kabla ya tarehe 05 Januari 2026.

Pia anawakumbusha wakazi wote kulipa vibali vya ujenzi. Pindi wanapotaka kuanza ujenzi wowote pamoja na kuondoa vibanda vilivyojengwa/kuwekwa maeneo yasiyo rasmi au maeneo ya hifadhi ya barabara, sambamba na kuwahimiza wamiliki wa vyombo vya usafiri wanaosafirisha abiria ndani na nje ya Halmashauri ya Manispaa kufuata utaratibu wa kupakia abiria na kushusha abiria stendi na vituo vinavyoruhusiwa.

Kumbuka kutokulipa kodi/ushuru kwa hiari ni kosa kisheria, hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yako ikiwemo kulipa faini au kushtakiwa mahakamani au vyote kwa pamoja.

Tangazo hili limetolewa leo tarehe 31.12.2025 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.

IJENGE HALMASHAURI YAKO KWA KULIPA USHURU.

FERDINAND JOHN
KAIMU MKURUGENZI
MANISPAA YA MPANDA


TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE.jpg

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA December 29, 2025
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE December 31, 2025
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • KITUO CHA AFYA NSEMULWA CHAANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI.

    January 05, 2026
  • WATUMISHI MANISPAA YA MPANDA WAMUAGA NA KUMKARIBISHA MKUU WA IDARA YA UTUMISHI

    June 08, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.