• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

WAZAZI NA WALEZI WAHIMIZWA KUWAPELEKA WANAFUNZI SHULENI KWA WAKATI

Posted on: January 13th, 2026

Katika jitihada za kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya elimu bora, Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, amefanya leo Januari 13, 2026, ziara maalum katika Manispaa ya Mpanda kukagua hali ya wanafunzi wanaoripoti shule pamoja na mwenendo wa zoezi la uandikishaji kwa mwaka wa masomo 2026.

Katika ziara hiyo, Mhe. Mrindoko ametembelea Shule ya Msingi Msakila, Shule ya Sekondari Mwangaza na Shule ya Sekondari Kishaki, ambapo amezungumza na walimu, wanafunzi pamoja na viongozi wa elimu ili kujiridhisha kuhusu mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji.

RC Mrindoko amewahimiza wazazi na walezi kuendelea kuwapeleka watoto shule bila kusuasua, akisisitiza kuwa elimu ni msingi wa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Vilevile, Mhe. Mrindoko amemuelekeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda kuhakikisha ndani ya siku 14 anakamilisha maandalizi ya uandishi na taratibu zote muhimu kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya mbili, moja ya msingi na moja ya sekondari katika Kata ya Kawajense, hatua inayolenga kupunguza msongamano wa wanafunzi uliopo katika shule za eneo hilo.

Kwa upande mwingine, RC Mrindoko amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Mpanda kuhakikisha changamoto ya upungufu wa madawati, hususani katika Shule ya Msingi Msakila, inafikia kikomo ndani ya muda wa mwezi mmoja, akisisitiza kuwa mwanafunzi hapaswi kusoma katika mazingira yasiyo rafiki.

Ziara hiyo imepokelewa kwa shukrani na wazazi pamoja na wananchi wa Manispaa ya Mpanda, wakieleza kuridhishwa kwao na ufuatiliaji wa karibu unaofanywa na Mkuu wa Mkoa katika masuala ya elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA December 29, 2025
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE December 31, 2025
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • WAZAZI NA WALEZI WAHIMIZWA KUWAPELEKA WANAFUNZI SHULENI KWA WAKATI

    January 13, 2026
  • WAKULIMA MANISPAA YA MPANDA WAGAWIWA MICHE YA KOROSHO BURE

    January 09, 2026
  • KITUO CHA AFYA NSEMULWA CHAANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI.

    January 05, 2026
  • WATUMISHI MANISPAA YA MPANDA WAMUAGA NA KUMKARIBISHA MKUU WA IDARA YA UTUMISHI

    June 08, 2025
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.