• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

WAKULIMA MANISPAA YA MPANDA WAGAWIWA MICHE YA KOROSHO BURE

Posted on: January 9th, 2026

DC JAMILA  AWAHIMIZA WAKULIMA KUITUNZA MICHE YA KOROSHO KWA MAENDELEO YA KIUCHUMI.

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Mheshimiwa Jamila Yusuph, amewahimiza wakulima wa zao la korosho kuhakikisha wanapanda na kuitunza ipasavyo miche waliyoipokea ili iweze kusitawi vizuri na kuleta tija katika maendeleo ya kilimo na kuinua uchumi wao pamoja na wa Taifa kwa ujumla.

Mheshimiwa Jamila ametoa wito huo leo tarehe 9 Januari, 2026 wakati wa hafla ya ugawaji miche ya korosho kwa wakulima wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, hafla iliyoandaliwa ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali katika kuwasaidia wananchi wa ngazi zote kuboresha uzalishaji wa mazao ya biashara.

Aidha, amewahimiza maafisa ugani katika ngazi ya Halmashauri na ngazi za chini kuhakikisha wanawatembelea wakulima mara kwa mara ili kuwapatia elimu ya kina kuhusu utunzaji wa zao la korosho pamoja na kupokea na kutatua changamoto zinazowakabili.

Kwa upande wake, Kaimu Afisa Kilimo wa Manispaa ya Mpanda, Abdallah Towazi, amesema kuwa lengo kuu la kuotesha na kugawa miche ya korosho ni kuwainua wananchi kiuchumi na kuongeza mapato ya Halmashauri kupitia uzalishaji endelevu wa zao hilo.

Naye mkulima wa zao la korosho kutoka Kata ya Kazima, Michael Kimondo, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuwapatia mbegu bure, akisema kuwa hatua hiyo itachochea kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kilimo na kuboresha maisha ya wakulima wa Manispaa ya Mpanda.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA December 29, 2025
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE December 31, 2025
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • WAKULIMA MANISPAA YA MPANDA WAGAWIWA MICHE YA KOROSHO BURE

    January 09, 2026
  • KITUO CHA AFYA NSEMULWA CHAANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI.

    January 05, 2026
  • WATUMISHI MANISPAA YA MPANDA WAMUAGA NA KUMKARIBISHA MKUU WA IDARA YA UTUMISHI

    June 08, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.