• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

DC MATINGA ATETA NA WAFANYABIASHARA.

Posted on: November 10th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda mama Lilian Matinga amefanya mkutano wa hadhara na wafanyabiashara wa soko la buzogwe, Mpanda hotel na Buzogwe mapema leo. Mkutano ulilenga kusikiliza kero na matatizo yaliyopo katika masoko hayo umefanyika katika viwanja vya stendi  bajaji.

Mhe. DC amewaeleza kuwa kumekuwa na wizi wa mali za wafanyabishara unaendelea kutokea katika masoko yetu unaopelekea uvunjifu wa amani kutokana na baadhi ya watu kujichukulia hatua mkononi. Amewapiga marufuku wafanyabiashara  na Wananchi wote wenye tabia ya kujichukulia hatua mikononi nakuwataka waviachie vyombo vya dola vifanye kazi yake.

“Tabia ya kujichukulia hatua mikononi sio nzuri, ni kinyume na sheria, mkimkamata mtuhumiwa wa wizi msimdhulu, mfikisheni kwenye vyombo vya dola ili vifanye kazi yake” Alisema DC Matinga.

Mkuu wa wilaya aliendelea kuwasihi wafanyabiashara kuishi kama ndugu na kila mmoja kuwa mlinzi wa mali ya mwenzake ili maeneo ya biashara yawe salama muda wote ili kila mmoja kwa nafasi yake aendelee kujitaftia riziki.

Ili kuimarisha ulinzi na usalama kwenye maeneo ya masoko Mhe. DC amewataka wanaosukuma matoroli na mikokoteni wote sokoni kuanzia tarehe 1, desemba 2018.  wawe na  umoja wao unatambulika  pamoja sale ili waweze kutambulika kiurahisi.

“Kuanzia tarehe 1, Desemba 2018, mtu yoyote atakaye kuwa anazulula sokoni  si mteja na hana kazi maalumu atakamatwa kama mzululaji, tunataka masoko nyetu yawe salama muda wote”

Aidha aliwataka wafanyabiashara kuzingatia usafi katika maeneo yao ya biashara na kwamba suala la usafi liwe tabia na si kusubili amri au maagizo kutoka kwa viongozi. Mhe DC aliwataka wafanyabiashara kutamka kauli hii “Usafi ni ustaarabu, unaanza na sisi”.  Pia amewaagiza wafanyabiashara wote kusafisha maeneo yote yanayowazunguka mita kumi kila upande ikiwa ni pamoja na kusafisha mitaro iliyopo mbele ya maduka au vibanda vyao. Amewaeleza kuwa amefuta utaratibu wa watumishi wa umma kufanya usafi kwenye masoko kila jumamosi ya mwisho wa mwezi badala yake amewataka wenyeviti wa masoko kuwahamasisha wafanyabiashara kushiriki kikamilifu katika kufanya usafi na kwamba usafi ufanyike kila siku na si kusubili mwisho wa mwezi.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.