• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

DC MPANDA ASHIRIKI UJEZI WA ZAHANATI YA DILIFU

Posted on: November 25th, 2021

DC MPANDA ASHIRIKI UJEZI WA ZAHANATI YA DILIFU

Katika Kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru na 59 ya Jamhuri Disemba 9,2021, Novemba 25,2021 Viongozi mbalimbali wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya  ya tanganyika ambaye pia alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Bw.Onesmo Buswelu ,Mkurungenzi Mtendaji wa Manispaa Bi.Sophia Kumbuli na Mstahiki Meya wa Manispaa Mhe.Haidary Sumry wameungana na Wananchi wa Kijiji cha Dilifu Kata ya Magamba katika zoezi la kumwaga jamvi katika Ujenzi wa Zahanati ya Dilifu kwa lengo la kutia chachu na kuhamasisha Wananchi kujitolea.

Kabla ya kuzungumza na Wananchi waliojitokeza,Mkuu wa Wilaya ameshiriki zoezi la kuchanganya zege akiambatana na Viongozi wengine kwa kushirikiana na Wananchi ambapo amewapongeza Wananchi wa Kijiji hicho kwa namna walivyojitokeza na kujitolea nguvu kitendo alichosema inatia Moyo kuona Wananchi wakijitokeza kushiriki Ujenzi wa Miundombinu kwani kujitolea kulizanza enzi za Baba wa Taifa,Hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Katika kuunga juhudi za Wananchi, Manispaa ya Mpanda imetoa Mifuko 20 ya Saruji huku Mstahiki Meya akichangia Mifuko 5.

Akitoa taarifa ya Ujenzi wa Mradi huo Mganga Mkuu wa Manispaa Dkt.Paul Swakala amesema kukamilika kwa Zahanati hiyo kutapunguza msongamano wa Wagonjwa katika Kituo cha Afya Ilembo,kuongeza ufanisi katika kutoa huduma ya Afya ya Baba,Mama na Mtoto pamoja na kusaidia kupunguza Vifo vya Mama na Watoto wenye Umri chini ya Miaka 5 kwa Wakazi wapatao 9915 wa Kijiji hicho na maeneo ya jirani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA December 29, 2025
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE December 31, 2025
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI MANISPAA YA MPANDA,ASISITIZA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 28, 2026
  • DC JAMILA AUNGANA NA DKT SAMIA KUPANDA MITI

    January 27, 2026
  • WAZAZI NA WALEZI WAHIMIZWA KUWAPELEKA WANAFUNZI SHULENI KWA WAKATI

    January 13, 2026
  • WAKULIMA MANISPAA YA MPANDA WAGAWIWA MICHE YA KOROSHO BURE

    January 09, 2026
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.