• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

KITUO CHA AFYA NSEMULWA CHAANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI.

Posted on: January 5th, 2026

Wakazi wa Kata ya Nsemulwa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wameanza kupata huduma ya upasuaji kwa wakina mama wajawazito ambapo walikuwa wanasafiri umbali mrefu kufuata huduma hiyo.

Akizungumza baada ya kufanya zoezi la uzinduzi wa huduma hiyo Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Daktari Paul Swakala ameeleza tayari halmashauri imekamilisha huduma hiyo kwa vituo vyote sita (06) ili kuwarahisisha waananchi kufuata huduma hiyo maeneo ya mbali.

Amesema kuelekea huduma ya bima ya afya kwa wote Halmashauri imejipanga kuweka miundombinu bora ya utoaji wa huduma za afya Ili ujio wa huduma ya bima ya afya kwa wote itakapokamikia wananchi waweze kupata huduma kwa urahisi.

Amesisitiza utoaji wa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia miongozo ya wizara ya afya kwa wahudumu kutoa huduma stahiki kwa wananchi ili kuepusha malalamiko.

Kwa Upande wao Wananchi wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuweza kuwatatulia Changamoto ya Hiyo ambapo walikuwa wanalazimika kutembea muda mrefu kufata huduma hiyo.

Pia wameipongeza ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda kwa kuweza kusimia na kukamilisha ujenzi na utolewaji wa huduma ya Upasuaji katika kituo hicho cha Afya (Nsemulwa Health Centre), Hatua ambayo itapunguza vifo vya Mama na Mtoto kwa Kiasi kikubwa

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA December 29, 2025
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE December 31, 2025
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • KITUO CHA AFYA NSEMULWA CHAANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI.

    January 05, 2026
  • WATUMISHI MANISPAA YA MPANDA WAMUAGA NA KUMKARIBISHA MKUU WA IDARA YA UTUMISHI

    June 08, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.