• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

MANISPAA YA MPANDA YAPONGEZWA KWA KUENDELEA KUPATA HATI SAFI

Posted on: June 14th, 2023

MANISPAA YA MPANDA YAPONGEZWA KWA KUENDELEA KUPATA HATI SAFI

Kamati ya fedha na utawala ya madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo na kuoneshwa kuridhishwa na maendeleo yake.

Kamati hiyo ikiongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda Mhe. Haidary Sumry, imekagua mradi wa ukarabati na ujenzi wa majengo mapya ya hospitali ya Manispaa ya Mpanda ambapo ameeleza kuridhishwa na hatua iliyofikia huku akimpongeza Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo Dkt Paul Swakala kwa usimamizi mzuri wa mradi huo.

Nao wajumbe wa kamati hiyo William Mbogo (Diwani wa kata ya Majengo) na Chrisant Mwanawima (Diwani wa kata ya Kasokolo) wamesema kwa hatua mradi huo ulipofikia ni wazi kuwa umetekelezwa kizalendo na kuonesha thamani ya fedha.

M…

[15:21, 6/21/2023] DON MUSIC SOUND: MANISPAA YA MPANDA YAPONGEZWA KWA KUENDELEA KUPATA HATI SAFI.

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda imepongezwa kwa kupata hati safi katika taarifa ya Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2021/22.

Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani  lililokutana kwa ajili ya kujadili hoja zilizotolewa katika taarifa ya Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kilichofanyika leo Juni 14, 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Mpanda.

Akiwatubia wajumbe wa Baraza hilo la Madiwani   Katibu Tawala wa Mkoa wa  Katavi, Hassan Rugwa ameeleza kuwa Manispaa ya Mpanda kupata hati safi inatokana na ufanisi na ushirikiano wa Madiwani na Wataalamu wa idara mbalimbali.

Amebainisha kuwa ni  madiwani ndio wenye jukumu la kuisimamia  Halmashauri  hivyo hakuna budi  kuwapongeza na kuwatia moyo ili waendelee kubuni mikakati zaidi ya kuweza kuisimamia halmashauri ili kuyafikia malengo yaliyowekwa.

Aidha amesema kuwa pamoja na mafanikio hayo   zipo changamoto kwenye baadhi ya maeneo ambazo zimewafanya kupokea hoja kadhaa na kuwataka wataalamu wa Manispaa kushirikiana na madiwani ili kufanya hoja hizo  kutojitokeza tena kwa kuwa hayo yote yapo ndani ya uwezo wa halmashauri yenyewe.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda  Haidary  Sumry ameeleza kuwa hadi Juni 2022 halmashauri hiyo ilikuwa imepokea hoja 55 kutoka kwa CAG ambapo hata hivyo hoja 30 zimeshajibiwa na kubakiza hoja 25 ambazo nazo zinaendelea kufanyiwa kazi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amesema kuwa ni faraja kwa halmashauri hiyo kuweza kupata hata safi hali  inayoonyesha kuwa kuna kazi kubwa imefanywa kwenye Manispaa ya Mpanda.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.