• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

Meja Generali Mstaafu Raphael Muhuga akabidhi ofisi

Posted on: August 14th, 2018

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Generali Mstaafu Raphael Muhuga amekabidhi ofisi  kwa ndugu Amos Makalla ambaye ni   mkuu  wa Mkoa wa Katavi aliyeteuliwa hivi karibuni.

Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika ofisi za Mkoa wa Katavi huku yakishudiwa na wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Katavi, wakuu wa taasisi pamoja na wakuu wa Idara mbalimbali.

Katika makabidhiano hayo, Meja Generali Mstaafu Raphael Muhuga amemkabidhi mkuu wa mkoa mpya shughuli zote zilizokuwa zinafanywa na mkoa pamoja na hatua zilizofikia. Aidha ndugu Amos Makalla ameipokea taarifa hiyo nakusema kuwa mkuu wa mkoa ni taasisi, hivyo anamuhakikishia Mkuu wa Mkoa mstaafu kuwa ataendeleza jitihada zote alizozifanya na kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea  kupata huduma bora.

Aidha Meja Generali Mstaafu Raphael Muhuga amemkabidhi mkuu wa mkoa wa Katavi mifuko 500 ya saruji iliyotolewa na kampuni ya GBP kama sehemu ya mchango wao wa kuendeleza ujenzi wa uwanja wa mwenge jambo ambalo lilimfurahisha sana ndugu Amos Makalla kwa jitihada za Meja Generali Mstaafu Raphael Muhuga za kuhamasisha shughuli za maendeleo.

 Meja Generali Mstaafu Raphael Muhuga amemshukuru sana Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli kwa heshima kuwa aliyompatia kwa kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Katavi kuanzia mwaka 2016

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.