• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

MENEJIMENTI YAPEWA MAFUNZO, TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA KUHUSIKA KATIKA KUWEKA VIPAUMBELE.

Posted on: July 6th, 2023

MENEJIMENTI YAPEWA MAFUNZO, TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA KUHUSIKA KATIKA KUWEKA VIPAUMBELE.

Wajumbe wa Menejimenti ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda wakiongozwa na Mkurugenzi Bi Sophia Kumbuli leo Julai 6, 2023 wamepata mafunzo ya miongozo ya Utekelezaji wa Mpango Kabambe (Mater Plans) na Mfumo ya Taarifa Kijiografia (Geographical Information Systems (GIS) kutoka ofisi ya Rais – TAMISEMI.  

Mafunzo hayo yenye lengo la kuzikumbusha mamlaka za serikali za mitaa juu ya umuhimu wa kutumia taarifa za kijiografia na mpango kabambe katika kupanga, kugawa, kugawanya rasilimali fedha, rasilimali  watu Pamoja na  huduma stahiki za kijamii kama miundombinu ya afya, elimu, maji na  barabara kwa wananchi, yametolewa katika ukumbi wa Manispaa ya Mpanda na Afisa Mipangomiji Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais - TAMISEMI Bw. George Joseph Miringay.

Akiwasilisha mada mbalimbali juu ya umuhimu wa kuwa na mpango kabambe na matumizizi ya mfumo wa GIS Bw, Miringay amesema kuwa, Mamlaka za Serikali za mitaa zinapaswa kuachana na mazoea ya kupanga mipango ya maendeleo ya kata, mitaa na vijiji kwa mazoea, badala yake zinatakiwa kutumia taarifa za kijiographia na mpango kapambe ili kuweka vipamumbele katika mipango ya maendeledeo.

Kwa upende wake Mkurugenzi wa Manispaa ya mpanda Bi Sophia Kumbuli kwa niaba ya Menejimenti na watumishi wote wa Manispaa ya Mpanda amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuendelea kuleta fedha za maendeleo katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda na kwamba Menejimenti itaendelea kusimamia fedha zote zinazoletwa ili ziweze kutumika kama ilivyokusudiwa ili wananchi waweze kupata huduma zote za msingi pamoja na kuwalete wananchi maendeleo.

Aidha Bi Sophia ameishukuru  Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa kuendelea kuzisimamia kwa ukaribu Mamlaka za Serikali za mitaa na kuanzisha mifumo ambayo itasaidia katika kupanga, na kugawanya  rasilimali fedha, rasilimali  watu kwa kuzingatia vipaumbele. Bi Sophia amemuhakikishia Bw. George Joseph Miringay Afisa Mipangomiji Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwamba yote aliyoyafundisha na kuelekeza Menejimenti ya Manispaa ya Mpanda imeyachukuwa na itaendelea kuyafanyia kazi.   

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.