• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

Watumishi wa Manispaa ya Mpanda wapata mafunzo juu ya miongozo ya upelekaji wa fedha za maendeleo (LGDG).

Posted on: August 21st, 2018

Mkururugezi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ndugu Michael F. Nzyungu, mapema leo amefungua mafunzo kwa wakuu wa Idara/vitengo na watendaji wa kata juu ya miongozo ya upelekaji wa fedha za maendeleo (LGDG).

Mafunzo haya yamelenga kuwafundisha na kuwakumbusha washiriki vigezo vya upatikanaji wa fedha.

Katika ufunguzi huo Mkurugenzi amewaeleza  washiriki kuwa serikali ina utaribu na vigezo ilivyo jiwekea katika kutoa fedha za maendeleo na fedha za  kuendeshea ofisi, hivyo   mafunzo haya yataisaidia Halmashauri kuweza kushinda  vigezo vyote na hivyo kuiletea Halmashauri ushindi mkubwa utakaopelekea kupewa fedha nyingi kwa ajili ya kuendesha ofisi katika ngazi zote na fedha za kujenga au kukamilisha miundombinu katika maeneo yetu amabyo ni kipamumbele cha jamii.

 Wakati akitoa hotuba ya Ufungunzi Mhe. Nzyungu alisema, “Mafunzo haya ni muhimu sana kwa maendeleo ya Manispaa yetu kwa kuwa  yanayohusiana na Mfuko wa Ruzuku ya maendeleo  ya serikali za mitaa kwa ajili ya mpango wa bajeti ya mwaka 2018/2019  pamoja na kujiandaa na na mchakato wa maandalizi ya upimaji wa mwaka wa kuwezesha kupokea au kupata  Ruzuku ya Maendeleo ya Serikali za mitaa”

Wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mkururugezi Nzyungu amewakata washiriki wote wa mafunzo hayo kufuatilia kwa umakini mkubwa mambo yote yatakayo fundisha kwa kuwa baada ya mafunzo utafanyika utekelezaji utakao ambatana na upimaji.

Aidha ameeleza kuwa kwa kuwa wakuu wa Idara wote na watendaji wote wameshiriki mafunzo hayo anategemea halmashauri itafauru vigezo vyote pamoja na upimaji utakaofanywa na serikali  na hivyo halmashauri kupata fedha za kuendeshea ofisi pamoja fedha za miradi.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.