• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda amewataka viongozi wa elimu kutekeleza majukumu yao ili kuinua ubora wa elimu

Posted on: March 22nd, 2018

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda amefanya kikao kazi  na viongozi wa Elimu ngazi za shule, kata na Halmashauri leo tarehe 22/03/2018 ili kujadili mambo mbalimbali yanayohusiana na elimu huku lengo kuu likiwa ni kuinua ubora wa elimu.

Katika kikao hicho Mkuu wa idara ya elimu sekondari aliwakumbusha viongozi wa  elimu majukumu yao ya msingi ambayo wanapasa kuyafanya kila siku ikiwa ni pamoja na kuwasimamia na kuwafundisha waalimu walioko chini yao ili nao waweze kutekeleza majukumu yao kikamilifu. Aidha amewataka walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu ngazi ya kata kuhakikisha wanawasimamia waalimu na kuhakikisha maandalio, vipindi, namna ya ufundishaji vinazingatiwa na kusimamiwa kwa ukaribu ili kuongeza ubora wa elimu. Pia amewataka viongozi wa elimu kuwa na tabia ya kukaa pamoja ili kujadili na kutatua changamoto mbalimbali za kielimu zinazowakabili ikiwa ni pamoja na kutunga mitihani yenye ubora ili kuondoa dhana ya kukariri maswali kwa wanafunzi. Kikao hicho kilihudhiliwa na wakuu wa idara na vitengo ambao walipewa nafasi ya kueleza mambo mbalimbali hasa sheria kanuni na taratibu zinazopaswa kuzingatiwa katika taasisi zao. Badada ya maelezo yenye ufafanuzi wa kina kutoka kwa wakuu wa idara na vitengo ya Mpanda ndugu Michael F. Nzyungu alipata nafasi ya kuongea nakutoa maelekezo kwa viongozi hao.

mkurugenzi wa Manispaa aliwaeleza viongozi hao kuwa  Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda imekua ikishika nafasi ya kwanza kitaifa kwa miaka miwili mfulurizo, aidha kwa mwaka 2017 Halmashauri ilishuka kutoka nafasi ya kwanza hadi nafasi ya tisa kitaifa. Pamoja na kuwa katika nafasi ya kumi bora nafasi hiyo sio nzuri na sio jambo la kujivunia ukilinganisha na nafasi ya kwanza tuliyoipata kwa miaka miwili mfurulizo. Hivyo amewataka viongozi na waalimu wote kufanya kazi kwa bidii ili turudi katika nafasi yetu ya awali.

Aidha ameendelea kuwaomba viongozi kusimamia na kuendelea kushirikana na kamati za shule pamoja na viongozi wa kata ili kuihamasisha jamii juu ya umuhimu wa kujenga miundombinu ya shule kama maboma ili serikali imalizie kupauwa na kufanya usafi wa miundombunu hiyo. Mkurugenzi amewata viongozi hao kuyatekeleza yote waliojadiliana kwa kuwa wao ndio nwawakilishi wake katika taasisi wanazozitumikia, endapo watashindwa kumsaidia kazi hatosita kutengua nafasi walizonazo ili wapewe watu watakao msadia.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.