• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

Posted on: August 31st, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuf akiambatana na watumishi wa ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda amekabidhi zawadi mbalimbali kwa niaba ya Mwenge wa Uhuru 2023 kwa mama aliyejifungua Agosti 25, 2023 katika kituo cha afya Kazima.

Mama huyo Anastazia Laurent amepata bahati hiyo ya kihistoria baada ya kujifungua mtoto wa kiume aliyempa jina la Mwenge kitendo kilichomkosha Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Abdallah Shaib Kaim na kuahidi kumpa zawadi kama motisha kwa kitendo chake cha kizalendo na kuuenzi mwenge wa uhuru.

Hiyo ilijikuwa ni Agosti 25, 2023 wakati Mwenge wa uhuru ulipofika katika kituo cha afya Kazima kwa ajili ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa kituo hicho kama moja ya miradi iliyofikiwa na Mwenge kwa halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.

'Mama Mwenge' mkazi wa mtaa wa Kazima mjini Mpanda, hajasita kuonesha furaha yake huku akijivunia uamuzi wake wa kumpa mwanae jina hilo na kueleza kuwa tukio hilo litaendelea kusalia kama alama ya uzalendo katika maisha yake.

DC Jamila amekabidhi zawadi mbalimbali ikiwemo doti za vitenge na pesa taslimu

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA December 29, 2025
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE December 31, 2025
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI MANISPAA YA MPANDA,ASISITIZA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 28, 2026
  • DC JAMILA AUNGANA NA DKT SAMIA KUPANDA MITI

    January 27, 2026
  • WAZAZI NA WALEZI WAHIMIZWA KUWAPELEKA WANAFUNZI SHULENI KWA WAKATI

    January 13, 2026
  • WAKULIMA MANISPAA YA MPANDA WAGAWIWA MICHE YA KOROSHO BURE

    January 09, 2026
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.