• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

RC KATAVI AWATAKA WAKAZI WA KAZIMA KUTUMIA KITUO CHA AFYA KAZIMA

Posted on: July 5th, 2023

RC KATAVI AWATAKA WAKAZI WA KAZIMA KUTUMIA KITUO CHA AFYA KAZIMA.


Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe  Mwanamvua Mrindoko mapema leo Julai 5 amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.


Moja ya miradi iliyotembelewa ni kituo cha afya Kazima kilichojengwa kwa fedha za zoto za miamala ya simu.


Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amewataka Wananchi wa Kata ya Kazima na maeneo jirani kuanza kukitumia Kituo cha Afya Kazima kwani tayari kimeanza kutoa huduma baada ya ujenzi wake ulioanza Julai 20, 2022 kwa gharama ya shilingi milioni 250 kukamilika.


Akitoa taarifa ya kituo hicho, Mganga mfawidhi kituo cha Afya Kazima Dr. Herman Kimango amesema huduma zilianza kutolewa rasmi Juni 19, 2023 kikiwa na watumishi wawili kwa kuanza kutoa huduma za Baba, Mama na Mtoto na huduma ya Kliniki.


Aidha, amesema moja ya changamoto zinazokikabili kituo hicho ni pamoja na kukosekana umeme, kukosa bajeti ya vifaa tiba kwa mwaka wa fedha 2022/23 ambapo hata hivyo shilingi milioni 150 zimetengwa kwa mwaka wa fedha 2023/24 kwa ajili ya kununua vifaa tiba na kuhusu tatizo la umeme amesema tayari Mkurugenzi ametenga shilingi milioni 4 ili kumaliza changamoto hiyo.


"Kwa sasa Halmashauri imekusanya vifaa kutoka vituo vingine ili baadhi ya shughuli zingine ziendelee kufanyika" alisema Dkt Kimango .


Aidha Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko baada ya kufanya ukaguzi wa kituo hicho, ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kwa usimamizi mzuri wa fedha zilizotolewa na Serikali kutoka katika tozo za miamala ya simu kwani kituo hicho kimejengwa katika viwango vinavyotakiwa.


Hata hivyo, amemuagiza Meneja wa Shirika la Umeme mkoa wa Katavi kwa kusimamiwa na Katibu Tawala mkoa wa Katavi kuhakikisha majengo yote ya vituo vya afya, hospitali za wilaya, shule za msingi na sekondari kuhakikisha ifikapo Julai 30, 2023 ziwe zimeunganishiwa umeme.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI MANISPAA YA MPANDA

    February 03, 2025
  • RC RINDOKO ASHIRIKI MAZISHI YA AKOFUDKT. LABAN WA KANISA LA NEW HERVEST CHURCH

    February 09, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAACHA HISTORIA, MTOTO AZALIWA AITWA MWENGE

    August 31, 2023
  • DC MPANDA AKUBALI KASI NA UBORA UKARABATI HOSPITALI YA MANISPAA YA MPANDA.

    August 31, 2023
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.