• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Habari na Mahusiano
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
      • Meya Mpya
    • Makala

Vifo vya kinamama Wajawazito, Watoto kupungua

Posted on: May 2nd, 2018

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa ndugu Charles Francis Kabeho mapema leo amezidua zahanati katika Halmashauri  ya Manispaa ya Mpanda kata ya Misunkumilo kijiji cha Milala   ikiwa ni juhudi za serikali za kupunguza vifo vya mama na mtoto.

Ujenzi wa Zahanati ya Milala uliibuliwa na Wananchi kwa lengo la kusogeza huduma kwa Wananchi, kupunguza msongamano wa wagonjwa katika Hospitali ya Manispaa ya Mpanda na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma ya Mama na Mtoto. Imeelezwa kuwa Zahanati hii inahudumia Wananchi wapatao 7,174 na inalenga  kupunguza vifo vya kinamama Wajawazito na Watoto wenye umri chini miaka mitano ambao awali walitembea zaidi ya Km 8 kufuata huduma za Afya katika Hospitali ya Manispaa ya Mpanda.

Aidha Mradi huu mpaka umekamilika umegharimu kiasi cha Tshs. 37,000,000.00 kati ya fedha hizo,Tshs 31,000,000.00 ni fedha toka   Serikali kuu kupitia Ruzuku ya Maendeleo (LGDG), Tshs 1,000,000.00 toka  Mapato ya ndani ya Halmashauri ya Manispaa  na Mchango wa Wananchi ni Tshs. 5,000,000.00. 

Katika kutekeleza Mradi huu, kazi zilizofanyika ni kukamilisha ujenzi wa  jengo lenye chumba cha Mganga, chumba cha Chanjo, chumba cha kujifungulia, Choo cha kisasa, Stoo ya Dawa, Samani za ndani na Vifaa vya Kitabibu Pamoja na kufunga  mfumo wa Umeme wa jua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA December 29, 2025
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WOTE December 31, 2025
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • RC MRINDOKO AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI MANISPAA YA MPANDA,ASISITIZA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    January 28, 2026
  • DC JAMILA AUNGANA NA DKT SAMIA KUPANDA MITI

    January 27, 2026
  • WAZAZI NA WALEZI WAHIMIZWA KUWAPELEKA WANAFUNZI SHULENI KWA WAKATI

    January 13, 2026
  • WAKULIMA MANISPAA YA MPANDA WAGAWIWA MICHE YA KOROSHO BURE

    January 09, 2026
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.