• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

WATUMISHI MANISPAA YA MPANDA WAMUAGA NA KUMKARIBISHA MKUU WA IDARA YA UTUMISHI

Posted on: June 8th, 2025

WATUMISHI MANISPAA YA MPANDA WAMUAGA NA KUMKARIBISHA MKUU WA IDARA YA UTUMISHI

Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda wametumia usiku wa Julai 8, 2025 kumuaga  aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala ndugu Deodatus Kangu ambaye amehamia Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni sambamba na kumkaribisha ndugu Emmanuel Vuli ambaye kwa sasa ndiye mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala Manispaa ya Mpanda.

Katika hafla hiyo watumishi wametumia muda huo kumtakia kila heri sambamba na kumshukuru kwa utumishi wake akiwa Manispaa ya Mpanda kwa zaidi ya miaka 7.

Kwa upande wake Muagwa ndugu Deodatus Kangu ametumia nafasi hiyo kwanza kumshukuru Mungu kwa kwa kumpa kibali cha kutumika katika Manispaa ya Mpanda kwa miaka 7.

" Kwanza kabisa naomba nimshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha  kutumika hapa kwa miaka 7, nilikuja nikiwa kijana na sasa ni mtu mzima,  namshukuru mama (Mkurugenzi), Wakuu wa Idara na watumishi wenzangu kwa upendo na ushirikiano mlionipatia kwa kipindi chote nikiwa hapa, ninaindoka nikiwa nimelelewa na mama na bahati nzuri tena kule Manyoni ninepokelewa na mama" alisema Kangu.

Kwa upande wake ndugu Emmanuel Vuli ambaye ni mkuu wa Idara kwa sasa amewaomba watumishi wote kumpatia ushirikiano kwa kufanya kazi kwa kufuata sheria, kanuni na miongozo ili kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

" Ndugu watumishi wenzangu ninaomba ushirikiano wenu, sina ndugu hapa Mpanda, ndugu zangu ni nyie watumishi wenzangu, ninaomba tushirikiane kufanya kazi kwa kufuata sheria kanuni na miongozo ili tuwahudumie wananchi na hivyo kumsaidia Mhe. Rais kazi aliyotutuma" Alisema Vuli

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo ametumia nafasi hiyo kumtakia Deodatus  kila lililojema na kwamba kwa uwezo wake katika utumishi hamuoni hapo Manyoni anamuona akifika mbali na juu zaidi.

Aidha bi Kumbuli amemkaribisha Ndugu vuli na kueleza kwamba kwa siku chache sana alizofanya kazi na Emmanuel Vuli ameona uwezo wake mkubwa, hivyo Kangu  aliyehama ni jembe na aliyehamia ni jembe pia na kwamba kubwa zaidi ni kumpatia ushirikiano.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.