• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

Wanawake waongezewa siku za kuishi

Posted on: April 25th, 2018

Mafanikio ya kupambana na vifo vitokanavyo na saratani ya mlango wa kizazi  yanaelekea kuafanikiwa mara baada ya uzinduzi wa Chanjo ya Kinga ya saratani ya mlango wa kizazi ulifanyika katika kituo cha afya cha Town Clinic kilichopo mjini Mpanda.

Akiongea katika hafla ya uzinduzi, mganga mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Mpanda ndugu Obed Mahenge alitoa ufafanuzi wa saratani ya mlango wa kizazi na kueleza kuwa  Chanjo hii inayotolewa kwa watoto wa kike wenye umri kati ya miaka 14. Aidha Dkt alisema “Nchini Tanzania, saratani ya mlango wa kizazi ni ya kwanza kwa vifo ikifuatiwa na saratani ya matiti. Saratani hii husababishwa na virusi vya Papilloma (Human Papiloma Virus-HPV) ”.  Pia alivitaja visababishi vya maambukizi ya virusi vya papilloma kuwa ni Kuanza kujamiana katika umri mdogo, Kuwa na wapenzi wengi, Kuwa na ndoa za mitala, Kuzaa watoto wengi na Uvutaji wa sigara.

Sambamba  na visababishi hivyo alizitaja dalili za saratani hiyo kuwa niKutokwa damu bila mpangilio au kutokwa damu baada ya kujamiana, Maumivu ya mgongo, miguu na au kiuno, Kuchoka, kupungua uzito, kupungukiwa hamu ya kula, Kutokwa uchafu kwenye uke wa majimaji, uliopauka wa rangi kahawia au wenye damu pamoja na Kuvimba mguu mmoja

Awali kabla ya kuzindua chanjo hiyo Mheshimiwa Mstahiki Meya alimtaka mganga mkuu kuendelea kutoa taarifa na matangazo ili wasichana wenye vigezo vya kupata chanjo hiyo ambao hawako mashuleni wapate fursa ya kupata chanjo hiyo.

Aidha aliwaomba wazazi wawe na tabia ya kupima mara kwa mara ili kuijua afya yao na kuchukua hatua haraka mara wanapogundulika kuwa na visahiria au dalili za saratani ya shingo ya kizazi.

Pia aliwaomba wazazi waondoe shaka dhidi ya chacho hiyo kuwa ni salama na haina madhara yoyote kwa mtumiaji, hivyo aliwaomba wazazi wawaruhusu watoto wao ili wakapate chanjo hiyo.

Katika uzinduzi uliofanyika siku hii ambayo pia ilikuwa ni siku ya Malaria duniani, Mheshimiwa mstahiki Meya aligawa vyandarua kwa wakina mama wajawazito na wenye watoto walikuwa wamekuja kliniki ikiwa ni ishara ya Manispaa kupinga na kuwalinda wananchi juu ya ugonjwa wa maralia.

Matangazo

  • THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN MPANDA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 06, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA December 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2024
  • KUITWA KAZINI January 06, 2024
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • SERIKALI YALETA BILIONI 29 MANISPAA YA MPANDA NDANI YA MIAKA 5

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • MADIWANI WAAGA RASMI

    June 19, 2025
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.